Serikali yaombwa kurejesha ruzuku Serikali imeombwa kurejesha ruzuku iliyokuwa inawapatia watu walio na ulemavu ili iwasaidie kutekeleza majukumu ya kuendesha vyama vyao,ili waondokane na tatizo la kupita mitaani kuomba. Read more about Serikali yaombwa kurejesha ruzuku