"Haina haja ya kuleana"- Uwoya

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefunguka na kudai kuna baadhi ya wanawake wamekuwa na tabia ya kuwakatisha tamaa wenzao katika vitu ambavyo wanavifanya na kupelekea wanaume ndio wanawapa ushirikiano kwenye masuala yao jambo ambalo sio zuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS