DC atoa agizo la kukamatwa wazazi

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evodi Mmanda ameagiza kukamatwa kwa wazazi wanaodaiwa kuwafundisha watoto kujaza majibu ya uongo kwenye mitihani ya kumaliza elimu ya msingi kwa kuogopa gharama za kuwapeleka shule za sekondari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS