Mbaroni kwa kuvamia kituo cha polisi
Watu wawili wamekamatwa na wengine wawili wakidaiwa kutoroka baada ya Jeshi la Polisi wilayani Ruangwa mkoani Lindi kufanikiwa kuwatia mbaroni kwa madai ya kutaka kuvamia kituo cha polisi wilayani humo huku wakiwa na silaha za kivita.

