Naibu Waziri aagiza Muhandisi akamatwe
Naibu waziri wa maji Mhe Jumaa Aweso ameagiza mhandisi wa manispaa ya Temeke Damas Shirima kukamatwa na kuhojiwa na polisi kwa kosa la kutoa maelezo yasiyo ridhisha juu ya utekelezaji wa mradi wa maji wa mwasongo uliopo Kigamboni Dar es salaam.
