Fid Q anafaa kufundishia - Mx Carter

Mpiga picha maarufu bongo ambaye kwa sasa ameingia kwenye biashara ya ku-manage wasanii, Mx Carter, amesema msanii Fareed Kubanda maarufu kama Fid Q, ni mtu sahihi kwa wanafunzi wa kupiga picha kumtumia kujifunza kupiga picha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS