Fid Q anafaa kufundishia - Mx Carter
Mpiga picha maarufu bongo ambaye kwa sasa ameingia kwenye biashara ya ku-manage wasanii, Mx Carter, amesema msanii Fareed Kubanda maarufu kama Fid Q, ni mtu sahihi kwa wanafunzi wa kupiga picha kumtumia kujifunza kupiga picha.

