Mvua kubwa kunyesha kwenye hii mikoa 7

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, TMA imetoa tahadhari  ya mvua kubwa  zinazotarajiwa kunyesha kwa saa 24 katika maeneo mengi ya mikoa ya ukanda wa Pwani zikikadiliwa kuzidi milimita 50.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS