Mahakama ya Katiba yalitaka bunge kumshtaki Rais 

Mahakama ya Katiba nchini Afrika Kusini imebaini kwamba bunge la nchi hiyo lilishindwa kutimiza wajibu wake kwa kushindwa kumuwajibisha rais wa nchi hiyo Ndg. Jacob Zuma juu ya kesi iliyokuwa ikimkabili ya matumizi mabaya ya fedha za umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS