Kilimanjaro Stars kumkosa mshambuliaji wake Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) Mbaraka Yusuph amepona majeraha ya misuli aliyoyapata kwenye mchezo dhidi ya Libya lakini ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Rwanda. Read more about Kilimanjaro Stars kumkosa mshambuliaji wake