Matatizo yahamia Dodoma
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma inakabiliwa na uhaba mkubwa wa damu salama ambapo kati ya chupa 1,000 hadi 1,500 zinazohitajika kwa mwezi zinazopatikana ni kati ya 700 hadi 800 tu na hivyo kupelekea uhaba mkubwa wa damu salama kwa wagonjwa.

