Taifa Stars kuboronga Kocha atoa siri

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Salum Mayanga amesema kushindwa kuandaa wachezaji wakiwa bado wadogo  na kukosa mipango makusudi ya kuandaa wachezaji ndio sababu zinazopelekea timu kufanya vibaya katika michuano mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS