CHADEMA watangaza jeuri
Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kinondoni, Waziri Muhunzi amesema hawana hofu juu ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Maulid Mtulia (CUF) kuhamia CCM kwani wako imara na wanasubiri taratibu za kutangazwa siku ya uchaguzi ili waweze kutetea kiti hicho.