Mnyika arudisha imani kwa CHADEMA
Mbunge wa Kibamba John Mnyika amefanikiwa kurejesha imani na furaha kwa baadhi ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya asubuhi ya leo kuweka wazi kuguswa na kile kinachoendelea kwa Wabunge, Madiwani na wafuasi 34 wa