Waonywa kutomwangusha Magufuli
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako ameitahadharisha taasisi ya umma iliyokabidhiwa dhamana ya kujenga madarasa ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kampasi ya Mloganzila kutomwangusha Rais Magufuli.