Azam FC yawatoa hofu mashabiki

Ikiwa leo ndio nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar, kocha msaidizi wa Azam FC Idd Cheche amesema mashabiki waondoe hofu kwani watatetea ubingwa wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS