Dr Mpango azindua barabara Arusha
Makamu wa Tanzania Dkt Philip Mpango ameiagiza wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kukamilisha ujenzi wa Barabara yenye miundombinu korofi ya Ngaresero - Engaruka Wilayani Ngorongoro Mkoani Arusha yenye urefu wa Kilometa thelathini na tisa kwa kiwango cha Lami