Wakalimani wazua changamoto
Changamoto ya uchache wa Wakilimani wa Lugha ya alama nchini, kutafsiri kwenye vyombo vya habari hasa televisheni umefanya serikali na taasisi nyingine za habari kushindwa kutizimiza lengo la upashaji wa habari kwa watu wote hususani viziwi.

