Nikki awalilia mabinti kunyimwa elimu
Baada ya Rais Magufuli kuweka wazi kwamba hakuna mwanafunzi atakayerudi kurudi shule baada ya kupata ujauzito, Msanii Nikki wa pili amedai kwamba mabinti mjamzito anahitaji kupatiwa elimu pamoja na msaada wa kisaikolojia kwani bado wananyanyapaliwa.

