Gor Mahia yawachakaza Jang'ombe

Gor Mahia wamefuzu kuingia nusu fainali ya Sportpesa Super Cup baada ya kuwachapa Jang'ombe ya Zanzibar bao 2-0 mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS