Sihitaji kolabo - Nuh Mziwanda

Msanii Nuh Mziwanda

Msanii wa bongo fleva anaye 'hit' na ngoma 'Anameremeta' Nuh Mziwanda amefunguka kwa kusema hataki kolabo na wasanii wa nje ya kwa sasa kwa kile anachokiamini muziki wake una ladha nzuri ndani ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS