Warriors waendelea kung'ara NBA

Mchezaji Kevin Durant akiingiza mpira kweye kikapu

Ushindi wa Golden State Warriors wa vikapu 132 -113 dhidi ya Cleverland Cavaries umeweza kuwaweka katika nafasi nzuri baada ya kuwagaragaza wapinzani wao alfajiri ya kuamkia leo katika uwanja wa Oracle Arena, Oakland nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS