Dida aibeba Yanga Sportpesa

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans wamefuzu kuingia nusu fainali ya SportsPesa Super Cup baada ya kuwachakaza wapinzani wao Tusker ya Kenya kwa mikwaju ya penati 4-2 mchezo uliopigwa uwanja wa uhuru Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS