Simba waomba kuandamana Jumanne Rais wa Simba, Evans Aveva Klabu ya Simba leo imeandika barua kwenda kwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuomba kufanya maandamano ya amani siku ya Jumanne ya tarehe 25 mwezi huu Read more about Simba waomba kuandamana Jumanne