Aliyeandika 'Komela' ya Dayna adai sifa zake
Msanii chipukizi kwa sasa anyetamba na wimbo wa 'Star' Foby amekiri kukerwa na tabia ya msanii Dayna Nyange kushindwa kutambua mchango wake katika wimbo wa 'Komela' aliomshirikisha Billnass ambao unasumbua masikio ya watu kwa sasa.