Yanga yatinga Nusu Fainali
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara Young Africans wamefuzu na kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons FC bao 3-0 mchezo uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam