Baba amkata mwanaye makalio

DCP Ahmed Msangi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza

Mwanamume mmoja mkazi wa Ndofe wilayani Nyamagana mkoani Mwanza amemfanyia kitendo cha ukatili mtoto wake kwa kumkata na kisu sehemu za makalio kwa madai ya utoro shuleni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS