Ole Medeye 'ajitumbua mwenyewe' UDP

John Cheyo (Kushoto) akiwa na Goodluck Ole Medeye

Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha 'The United Democratic Party' (UDP) ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo kwa madai ya kujipa fursa ya kuitumikia familia yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS