Ole Medeye 'ajitumbua mwenyewe' UDP John Cheyo (Kushoto) akiwa na Goodluck Ole Medeye Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha 'The United Democratic Party' (UDP) ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi hiyo kwa madai ya kujipa fursa ya kuitumikia familia yake. Read more about Ole Medeye 'ajitumbua mwenyewe' UDP