Walimu wa sanaa hawataajiriwa : Kairuki

Waziri Angela Kairuki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki amefunguka na kusema serikali kwa sasa haitaweza kuajiri walimu wapya wa sanaa bali itawatumia walimu wa sanaa wa ziada waliopo katika shule za sekondari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS