Jonas Mkude apata ajali ya gari

Jonas Mkude

Kiungo na Nahodha wa timu ya Simba SC, Jonas Mkude amepata ajali baada ya gari waliokuwa wakisafiri nalo kupinduka katika eneo laDumila Mkoani Morogoro wakati wakirejea jijini Dar es salaam kutokea Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS