Guterres atamani usitishwaji mapigano Sudan

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guterres ameanza ziara ya siku mbili nchini Kenya. Ajenda inajikita katika hali ya kibinadamu na usalama nchini Sudan ambako mapigano yanaendelea kati ya majeshi hasimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS