Sirro aapishwa rasmi kuwa IGP

Rais Magufuli akimuapisha Simon Sirro kuwa IGP

Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo amemvisha cheo kipya na kumuapisha Mkuu wa Jeshi la Polisi mpya (IGP) Simon Sirro Ikulu Jijini Dar es Salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS