Kamati nyingine yaundwa kuchunguza mchanga

makontena yenye mchanga wa madini yaliyozuiliwa katika Bandari ya Dar es Salaam

Rais  wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameteua wajumbe wa kamati maalum ya pili itakayofanya uchunguzi wa madini yaliyomo kwenye mchanga wenye madini ulio ndani ya makontena yaliyopo katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS