Liverpool kumkosa Mane hadi mwisho wa msimu
Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane atakosa michezo ya timu hiyo iliyobaki katika msimu huu kutokana na majeruhi ya goti, aliyoyapata, kwenye mchezo wa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Everton Jumamosi iliyopita.