Liverpool kumkosa Mane hadi mwisho wa msimu

Sadio Mane

Mshambuliaji wa Liverpool Sadio Mane atakosa michezo ya timu hiyo iliyobaki katika msimu huu kutokana na majeruhi ya goti, aliyoyapata, kwenye mchezo wa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Everton Jumamosi iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS