Simba warejea rasmi kimataifa

Wachezaji wa Simba wakishangilia kombe lao

Klabu ya soka ya wekundu wa msimbazi ya simba imetwaa ubingwa wa kombe la shirikisho la TFF baada ya jioni ya leo kuinyuka Mbao FC bao 2-1 kwenye mechi ya fainali iliyopigwa kunako dimba la Jamhuri mkoani Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS