Simba warejea rasmi kimataifa Wachezaji wa Simba wakishangilia kombe lao Klabu ya soka ya wekundu wa msimbazi ya simba imetwaa ubingwa wa kombe la shirikisho la TFF baada ya jioni ya leo kuinyuka Mbao FC bao 2-1 kwenye mechi ya fainali iliyopigwa kunako dimba la Jamhuri mkoani Dodoma. Read more about Simba warejea rasmi kimataifa