Marekani kujaribu kombora la masafa marefu Donald Trump, Rais wa Marekani Idara ya jeshi nchini Marekani imesema kwa mara ya kwanza itajaribu kudungua kombora la masafa marefu lililo na uwezo wa kufyatuliwa kutoka bara moja hadi bara lingine. Read more about Marekani kujaribu kombora la masafa marefu