Marekani kujaribu kombora la masafa marefu

Donald Trump, Rais wa Marekani

Idara ya jeshi nchini Marekani imesema  kwa mara ya kwanza itajaribu kudungua kombora la masafa marefu lililo na uwezo wa kufyatuliwa kutoka bara moja hadi bara lingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS