Waislamu watakiwa kudumisha amani Muft wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubery Waumini wa dini ya kiislamu nchini wametakiwa kuutumia vizuri mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya matendo mema pamoja na kudumisha amani ndani ya taifa la Tanzania Read more about Waislamu watakiwa kudumisha amani