Waislamu watakiwa kudumisha amani

Muft wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubery

Waumini wa dini ya kiislamu nchini wametakiwa kuutumia vizuri mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa kufanya matendo mema pamoja na kudumisha amani ndani ya taifa la Tanzania

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS