Ukichezea Mizani faini milioni 20

Meneja wa Wakala wa Vipimo katika Jiji la Ilala Alban Kihula amesema kwa mujibu wa sheria mfanyabiashara yoyote anayetumia mizani kupima bidhaa anapobainika amechezea mizani ili kupunguza kiwango halisi atalazimika kulipa faini ya kuanzia shilingi laki moja mpaka shilingi milioni 20

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS