Siyo dhambi mwanamke kuvaa suruali - Shusho Christina Shusho akiwa Kikaangoni Mwanamuziki wa nyimbo za injili Christina Shusho amefunguka na kuweka wazi ukweli wake kuwa siyo dhambi kwa mtoto wa kike kuvaa vazi la suruali kwa kuwa hilo ni vazi la kawaida ilimradi lizingatie maadili Read more about Siyo dhambi mwanamke kuvaa suruali - Shusho