Baba ajiua yeye na wanae kisa ugumu wa maisha
Imeelezwa Mzee Amani Madumba aliyekuwa akiishi Kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro aliyefariki dunia yeye pamoja na watoto wake watatu usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2023 kwa kuteketea kwa moto, kwamba yeye ndiye aliyeichoma nyumba hiyo kisa ugumu wa maisha.