DC Kinondoni aagiza mwalimu mkuu avuliwe madaraka

Mkuu Wa Wilaya Ya Kinondoni Ally Salum Hapi akiwa ziarani katika shule za msingi zilizopo wilaya ya Kinondoni

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Salum Hapi,amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kumvua madaraka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mwananyamala B kwa kosa la kuruhusu kujengwa kwa mabanda ya biashara katika eneo la shule hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS