DC Kinondoni aagiza mwalimu mkuu avuliwe madaraka
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Salum Hapi,amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kumvua madaraka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Mwananyamala B kwa kosa la kuruhusu kujengwa kwa mabanda ya biashara katika eneo la shule hiyo.