Mwenyekiti wa Mtaa wa Bulale auwawa kwa risasi Kamanda wa Polisi wa Mkoa Mwanza Ahmed Msangi Mwenyekiti wa Mtaa wa Bulale uliopo Kata ya Buhongwa wilaya ya Nyamagana mkoa wa Mwanza ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika hapo jana wakati akielekea nyumbani kwake. Read more about Mwenyekiti wa Mtaa wa Bulale auwawa kwa risasi