Sukari inawafilisi mama ntilie Temeke - Mtolea

Mbunge wa Jimbo la Temeke Abdallah Mtolea CUF ameliambia Bunge leo Mjini Dodoma kwamba bei ya sukari kupanda na kuadimika kumesababisha mama ntilie katika jimbo lake kufilisika kwa kuuza chai na vyakula kwa bei ileile pamoja na kupanda bei ya sukari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS