Uzinduzi wa siku ya msanii

Wasanii wa Bongo

Wasanii mbali mbali na wadau wa sanaa wamejitokeza jana katika siku ya kuzindua rasmi mchakato kuelekea siku ya msanii itakayofanyika Oktoba 29, kwenye ukumbi wa Alliance Francaise Upanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS