
Wasanii wa Bongo
Akizungumza na eNewz mgeni rasmi ambae alimuwakilisha Waziri wa Habari Utamadunu na Michezo, Katibu wa wizara hiyo Prof. Elisante Ole Gabriel alisema kuwa sanaa ina nguvu kubwa katika jamii ndio maana wasanii wanatumika mara nyingi katika kampeni na matamgazo ya biashara.
Mahadhimisho hayo ya siku ya msanii ambayo yatafanyika katika ukumbi wa Alliance Francaise Upanga huku yakiongozwa na kauli mbiu isamayo "Sanaa ina nguvu".