Rais wa Brazil asimamishwa kazi

Rais wa Brazili Bi Rousseff

Rais wa Brazili Bi Rousseff amesimamishwa kazi na Bunge la Seneti baada ya kupigiwa kura ya maoni na kuamua kuidhinisha kutokuwa na imani dhidi ya kiongozi mkuu wa taifa hilo Dilma Rousseff.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS