Serikali kuwaunganisha vijana katika Kilimo

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba.

Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Nchemba amesema serikali itaendelea kuwawezesha vijana kwa utaratibu maalum, kujishughulisha na kilimo hususanI vijana watakaonyesha muamko na kilimo kwa kupata mbegu bora ili kuongeza uzalishaji nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS