Kama wachezaji wa Simba tunastaili lawama - Mgosi

Nahodha wa kikosi cha Simba Musa Hassan.

Nahodha wa kikosi cha Simba Musa Hassan ‘Mgosi’ amesema kufanya vibaya kwa timu hiyo kumetokana na wachezaji kushindwa kutambua ukubwa na historia ya timu wanayoichezea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS