Serikali haijatoa maelekezo yoyote ya siasa vyuoni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kwamba serikali haijatoa maelekezo yoyote kwa wanafunzi wa vyuo nchini kujihusisha na siasa wakati wa masomo. Read more about Serikali haijatoa maelekezo yoyote ya siasa vyuoni