Baadhi ya wahitimu bora wa vyuo vikuu mbalimbali wakimsikiliza Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini kwa kushirikiana na wawekezaji wa ndani Jijini Mwanza wameanzisha vikundi vya ujasiriamali kwa lengo la kukabiliana na tatizo la ajira.