Hakuna aliyebomolewa nyumba bondeni atalipwa fidia Serikali imesema kwamba haitawalipa watu wote ambao wamebomolewa nyumba zao kwa kujenga mabondeni au kujenga maeneo ya wazi,hifadhi ya barabara, au maeneo yaliyotengwa kwa shughuli maalumu. Read more about Hakuna aliyebomolewa nyumba bondeni atalipwa fidia