Mtaalamu wa masuala ya kinga kutoka Wizara wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Dkt.Azma Simba Kulia na Afisa mfawidhi wa magonjwa Geofrey Mchau Kushoto wakizungumza na vyombo vya habari mapema leo Jijini Dar es salaam
Watu laki 4 wanakufa nchini Tanzania kila mwaka kutokana na athali za mabadiliko ya hali hewa ya tabia nchi Tanzania.