Taarifa za Leseni za madini sasa kwa sms

Wizara ya Nishati na Madini imeendelea kurahisisha utoaji wa huduma za leseni za madini ambapo sasa  wamiliki wa Leseni hizo wanaweza  kupata taarifa za ada ya leseni kwa njia ya ujumbe wa simu (SMS).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS