Panguapangua ya ratiba ligi kuu bara yaibuka tena.

Kikosi cha mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL msimu wa 2015/2016 Yanga SC.

Kwa mara nyingine tena kama ilivyozoeleka haipiti wiki ama michezo kadhaa bila ratiba ya ligi kuu ya soka Tanzania bara kurekebishwa kwa kufanyiwa marekebisho madogo kwa baadhi ya michezo ama kuahirishwa kutokana na sababu wanazojua bodi ya ligi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS