Wafanyabiashara wa viazi waanza kuuza bila Lumbesa

Baadhi ya wakulima wa viazi wakiwa wamejaza lumbesa zao

Wakulima wa zao la viazi nchini hususani mkoani Njombe wameanza kupata unafuu wa kuuza zao la viazi pasipo ujazo wa lumbesa ambao ulionekana kuwapunja kwa muda mrefu na kuwafanya washindwe kuendelea kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS